Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

AUSTRALIAN OPEN 2016: SERENA NA FEDERER WASONGA MBELE


Mambo yamekuwa poa kwa Serena Williams na Roger Federer kwa kufuzu kwendaa mbele round ya 3...Serena alimchapa Hsieh Su-Wei 6-1 6-2 ...Novak Djokovic nae aliweza kuingia round ya 3 baada ya kumchapa Quentin Halys...Bofya hapa upate habari zaidi.

Yorum Gönder

0 Yorumlar